iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Baraza la Fatwa la Syria limetangaza kuwa ni haramu kwa mujibu wa sheria za Kiislamu kwa Wasyria kuhatarisha maisha na mali zao kwenda Ulaya.
Habari ID: 3476083    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/13