IQNA – Baraza Kuu la Fatwa la Syria limesema mojawapo ya kanuni zisizopingika za Uislamu ni marufuku ya usaliti na kushirikiana na adui Mzayuni au Muisraeli ambaye ni mwovu na mhalifu.
Habari ID: 3480969 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/19
TEHRAN (IQNA) – Baraza la Fatwa la Syria limetangaza kuwa ni haramu kwa mujibu wa sheria za Kiislamu kwa Wasyria kuhatarisha maisha na mali zao kwenda Ulaya.
Habari ID: 3476083 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/13